Instagram models ni wale wanamitindo ambao wana tangaza bidhaa ma kampuni kupitia mitandao mostly mtandao unao tamba kwa kufanya hivyo kwa sasa ni Instagram huko kwa wenzetu wadada na wakaka wengi ambao wana penda kuwa wanamitindo wana tumia fursa hii kufanya kazi zao hapa Tanzania pia wapo lakini wana sua sua hawajui waanzie wapi waishie wapi mwisho wa siku wanaishia kupiga picha za utupu, kuingia kwenye scandals au hata kuamua kuingia katika muziki au uigizaji kitu ambazho hakikua malengo yao.
hizi ni tips tulizo waandalia za namna ya kuwa Instagram (au model wa mitandaoni)
Kwanza kabisa jua malengo yako – ukijua unataka kuwa model wa aina gani utajua upige picha za namna gani na kuzipost mitandaoni kwa mfano labda una penda kuwa fitness model, off course post zako zitakuwa za mazoezi au vyakula ambavyo vinakufanya uwe na mwili mzuri hapo utahitaji
mwili ulio fit fanya mazoezi. Au labda model wa mavazi hapa utahitaji picha ulizo jipangilia vizuri umependeza etc.
2) tafuta mpiga picha mzuri, camera nzuri au simu yenye camera nzuri – hiki ni muhimu sana hakuna brand itakayo kuchukua kama picha zako haziridhishi kwanini? utaonekana haupo determined. Models wengi wanao jielewa hapa kwetu au nje wana piga picha zinazo eleweka mfano mzuri Hamisa Mobetto kwa sasa yeye ndiye model anaye onekana kutangaza brand za mavazi sana una weza kuangalia picture zake zipo vizuri sana.
3) uchaguzi wa theme – unatakiwa kujua theme ya photo shoot yako, kama ni model wa mavazi jua kidogo kuhusu mitindo, ufukweni unavaa nini, outing utavaa nini casual etc katika hili tuna weza kuku direxct kwa mwanamitindo kutoka Tanzania Macrida Joseph, Macrida ni model ambae kila post yake ukiiangalia utaona mavazi yameendena na sehemu aliyopo
4) Usiwe na haraka – piga picha nyingi uwezavyo na chukua muda wako kuchagua the best photo ambayo umetokea vizuri na madhari ipo vizuri hapa ndipo utakapo pata likes nyingi, repost, tags kutoka kwa fashion bloggers na brand zikaanza kukutambua na pia una weza ku tag brand nyingi uwezavyo kufanya awareness wakuone
repeat the process hopefull tume kusaidia kwa namna moja au nyingine.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…