Finally weekend hii hapa kwa wengine wame choka na ku party usiku mzima lakini wale wenzetu na sisi ambao weekend ikifika tuna fikiria ku seat back, ku relax na kuto kufikiria chochote zaidi ya kula na kuangalia movies.
lakini kuna wengine hawa tuna waita stylish people wao hawa wana party wana relax lakini pia kwa muda mchache wanao upata wanautumia hivi
01. kusafisha kabati
Unapo kuwa na heka heka ya week nzima mara nyingi makabati yetu huwa yana vurugika katika ile kuchagua nivae hii hapana hii mmmh, hii basi mpaka upate ile unayo ona ina faa na kuivaa una kuwa umesha vuruga vingi na kutudishia huwezi ukirudi kazini ume choka, week end ndio muda pekee ambao una weza kuutumia kufua zilizo chafuka, kuzipass, kukunja na kuzi panga vizuri kabatini.
02. Kuangalia madoa na kushona zilizo chanika
Hakuna siku nzuri kuangalia na kufanyia marekebisho nguo zako kama weekend, angalia madoa, kama ime chanika au kupunguza kama kubwa. hii itakupa urahisi week inayo kuja kuwa na uhakika wa kuvaa nguo bila ya kuwa na wasi wasi wa aina yoyote.
03. Kupanga nini uvae week ijayo
Ili kupunguza ile panic ya sina cha kuvaa wao hutumia weekend kupanga nguo gani za kuvaa week nzima ijayo na kuzitayarisha kabisa, hii ina okoa muda na kukupa nafasi ya kujistyle vizuri kabisa bila ya kupanic na kuchagua kuvaa chochote tu ili mradi ni official wear.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…