Leo kwenye fashion court tupo na watu maarufu wanaovaa winter jackets na jua hili la Nchini kwetu, tena basi wakiwa hawapo Iringa wala Mbeya wapo kwenye Jiji lililobarikiwa Jua na Joto.
Yes we have seen it and imetushangaza unavaaje winter coat na hili jua? Are you trying to bbq yourselves?



Huwa hamuwashwi miili? Majasho?
Kuna watu wanatoka Nchi za nje kuja Tanzania kipindi cha joto, mtu anaweza kupitia page za watu maarufu akakuta mmevaa hizi coat akajua na huku kuna baridi aka-ghairi safari.
Na kuna wale tutasema hawa wanatembea kwenye magari wakishuka maofisini A/c basi kila mwenye gari na anaefanyakazi ofisini angekuwa anavaa haya ma-coat. Its about time tujue kuvaa kitu kutokana na mazingira tuliyopo.
Well we can understand labda mnataka kuwa fashionable kwa ku layer outfit zenu but there are so many ways to do that ukiwa na nguo ambazo ni weather friendly like kuvaa denim jackets au linen shirts etc.



Oh kabla hatujasahau muangalie mtangazaji huyu akiwa amevaa hood mtaani na mchana wa jua kali you know we gotta ask blaza hukuwa unasikia harufu ya mishkaki kweli?
Tushukuru wale ambao wali-comment kuhusu hili kwenye mitandao yetu ya kijamii, baadhi ya comment hizo ni,



Tupe maoni yako kuhusu hili swala wewe unaonaje?
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/26450/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 81400 additional Info to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/26450/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/26450/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/26450/ […]