Well kuna mtu hamjui Diamond Platnumz? mmh hatudhani ila kama yupo ni msanii kutoka Tanzania ambae ana fanya kazi nzuri ya kututoa kimaso maso wa Tanzania katika ulimwengu wa muziki, wengi tulikuwa tuna penda styles zake wakati anaanza lakini kwa sasa hatujui nini diamond ana jaribu kutuambia that he is so big ame settle hajisumbui kuangalia muonekano wake? lakini si inatakiwa ukiwa big ndo uwe muangalifu zaidi maana ingekuwa hivyo Jay angeenda kwenye interview na boxer (lol). Well kisa cha povu letu hilo ni jinsi mond A.K.A Simba alivyo vaa katika Interview yale asubuhi clouds tv
Huu muonekano ni NO kwa msanii mkubwa kama yeye yaani hajui hivi viatu vina endana na mavazi gani? Hio kofia ya mzee ojwang hajui ina takiwa ivaliwe wapi? na kwanini hii suit ime m’bana kiasi hiki alinunua kabla haja nenepa? diamond realy? tupo 2017 na bado tupigizane kelele na mavazi jamani we hope huyu aliye kuvalisha sio qboy msafi maana tuna weza kusema ina kuwaje stylist hajui vipimo vya anae mvalisha, this outfit is wrong in high level na different ways. This is a fashion Crime
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/alichovaa-diamond-platnumz-kikatushangaza/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/alichovaa-diamond-platnumz-kikatushangaza/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/alichovaa-diamond-platnumz-kikatushangaza/ […]