Yoyote aliye wahi kusema men are not royals, hajawahi kukutana na Ally Rehmtullah. Ally Ni mbunifu kutoka Tanzania na ana mapenzi ya dhati hatujui kuhusu kwa girlfriend/mkewe lakini tunajua mapenzi yake na hizi sneakers,
tume m-spott Ally akiwa amevalia hivi viatu mara nyingi na every freaking where, kama ni red carpet, casual au hata dinner
kama viatu huwa vina a ongea basi kwenye kabati la viatu vya Ally hivi viatu vina watambia sana viatu vingine kwa kuhudhuria sehemu nyingi kuliko viatu vyote.
Si kitu kibaya kupenda kitu chako lakini kukipenda sana mpaka watu waka notice nayo ni mbaya, kama public figure, mbunifu watu wana taka kujifunza kutoka kwako, tuna taka kuona Ally kavaa kiatu gani ama nguo gani ili na sisi tuige sasa hivi viatu jamani kila siku halafu kama vikubwa hivi “over sized’
tunge shukuru kama hivi viatu unge vipumzisha kidogo kwa mwaka huu
kama ulipitwa hii highlight ilikuwa produced by afroswagga katika kipindi cha storm.tv kinacho onyeshwa kila jumatano Clouds Tv
tupe maoni yako kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 11341 more Info on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/ally-rehmtullah-na-mahaba-yake-na-hivi-viatu/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/ally-rehmtullah-na-mahaba-yake-na-hivi-viatu/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/ally-rehmtullah-na-mahaba-yake-na-hivi-viatu/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/ally-rehmtullah-na-mahaba-yake-na-hivi-viatu/ […]