Anaitwa Hemedy Suleiman wengi tunamjua kama Hemedy Phd au Papi, ni mwanamuziki lakini pia ni mcheza filamu, tulianza kumjua Hemedy kupitia shindano la Tusker Project Fame ambapo alikuwa moja ya washiriki pendwa katika jumba hilo. Hemedy ukiachana na kuimba na uchezaji filamu ni moja kati ya wasanii wa kiume wanaopenda fashion unaweza kujua hilo kwa kuangalia namna anavyo pangilia mavazi yake, ametoa wimbo wake mpya unaitwa MKIMBIE na leo tunaifanyia review ya mitindo yake humo
Kama ambavyo tumesema mwanzo Hemedy anapenda mtindo kwenye hii video mavazi yamepngiliwa vizuri, rangi accessories almost kila kitu kipo on point, our favorite part ni alipo vaa kanzu na sneakers nyekundu
Part nyingine ambayo tumevutiwa nayo ni wakati wimbo unaanza ana piga piano amevaa black suit na brown hat acessories zime cordinate well rangi zimepangiliwa vizuri we must say he did take notes
Kuna scene ambayo alivaa purple coat akatupia na purple scarf so elegant japo scarf imeonekana kama imekuwa forced sana yani hakukua na umuhimu wa kivaa as ndani alivaa kabakoo
brown kanzu never looked better hapa hemedy ameitendea haki, wale wanao oa na kuvaa kanzu au kama unapenda kuvaa kanzu na hujui uiaccessorize vipi basi mchukue notes hapa
kuna mistakes ndogo ambazo tumeziona kama kutumia aceesory zilezile video nzima, kila nguo Hemedy ametumia acessory zilezile tungetamani kuna sehemu zimepunguzwa au hamna kabisa kufanya uniqueness, lakini pia kwa upande wa video queen kuna scene ambayo amevaa gauni iliyo chanwa chanwa ubavuni kuvaa hizi gauni ni very risk maana inabidi usivae nguo za ndani which hajavaa ya chini ingekua better asinge nyanyua mkono kumu hug Gelly maana imeonekana kavaa top nyeusi ndani ambayo imeharibu show ya nguo kuna sidiria ambazo angeweza kuvaa au angetumia Kim Kardashian tape method
All in all we are making steps video nzuri na nice song, unaweza kuitazama hapo chini
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/amvfr-mkimbie-by-hemedy-phd/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/amvfr-mkimbie-by-hemedy-phd/ […]