Ni jumatatu nyingine tena na ni muda wa kufanyia review za fashion katika music video zilizo toka hivi karibuni na leo tuna mwanamuziki kutoka Kenya Bahati akiwa ame mshirikisha msanii kutoka Tanzania katika kundi la WCB Rayvanny a, Wimbo una ujumbe mzuri sana it is a nice song lakini kwa upande wa Fashioon bado tunaona vitu vile vile vinaendelea yaani nothing new ya kutu-impress au kutushtua
Bado tunaona trend ya bandana ina endelea as tunamuona Rayvanny akiwa na outfit ya red amevaa na bandana to us tunadhani its about time watu wa change yaani kila video kila msanii ana bandana like realy? creativity iko wapi? we need to see something new. hapo hapo Raymond na hio outfit yake red tuna dhani amesha panda mara nyingi na hizi full red or blue outfit kwenye majukwaa au hata post zake tu za kawaida instagram its something kila mtu anaijua yani hata sharobaro tu mtaani ana weza aka create ule mtoko, its about time muamue kuchukua ma stylist wawasaidie.
Tunaona bahati nae akaambukizwa Bandana hapa lol
White suit tumeziona sana kutoka kwa Ben Poul, Diamond mwenyewe yah its classic but tusafisheni macho na kitu kipya we beg.
we some how love hii outfit kutoka kwa bahati
kuna video ya diamond na p square iliongelewa sana na wabunifu na wapenda fashion ni kwa sababu ya jinsi walivyo badilika kimavazi na color coordination, tuna dhani ile effort iliyo fanyika pale iwe ina fanyika kila sehemu na kila msanii awe ame fanya na local msanii au international you need to put 99% on your work kwetu hii ni 75% tu na kwa sababu the song is nice. unaweza kuiangalia video hapo chini
Related posts
6 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/amvfr-nikumbushe-bahati-ft-rayvanny/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 5681 more Info on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/amvfr-nikumbushe-bahati-ft-rayvanny/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/amvfr-nikumbushe-bahati-ft-rayvanny/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/amvfr-nikumbushe-bahati-ft-rayvanny/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 12926 additional Info to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/amvfr-nikumbushe-bahati-ft-rayvanny/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/amvfr-nikumbushe-bahati-ft-rayvanny/ […]