Kila mtu ana penda kuona kile kilicho bora kutoka kwa wasanii wetu, tuna penda muziki mzuri, video bora na hata mionekano basi nayo iwe vyema. Na tunapenda tunacho kiona siku hizi wasanii wetu wana jitaidi sana kuna weza kukawa na mistake za hapa na pale lakini tulipo sipo tulipo toka. na kwa week hii msanii kutoka wcb ame toa wimbo wake mpya unao kwenda kwa jina la NIAMBIE.
Kiukweli tumependa jinsi video ilivyo clear, haina watu wengi na jinsi walivyo na furaha wenyewe such a cute couple right?(in diva the bawse voice lol, Jacqueline ame fanya magic yake as usual amependeza sana hata harmonize pia ila tuna mawili matatu ambayo yame tushtua kidogo, mwanzo wa video una wea kumuona harmonize akiwa ana cheza tennis ame pendeza mno the outfit ime kaa kimichezo pia na pale ndipo mahala pa bandana
lakini tukaiona hii bandana na ikiwa imevaliwa tena mwishoni mwa video amevaa na suit & we was like hiki ni nini? sheria za suit ni kuwa smart kwanini tunalishusha hili vazi siku hizi kwa sisi tumeona ali accessorize enough na cheni na pete ku add bandana ime fanya aonekana awkward
na iko kinacho ning’inia nyuma sijui ni a scarf ya’rabbi ita a no kwa kweli sio kwa vazi la suit
kingine tumeona kwenye pool akiwa amevalia kaptura na ametupia sijui kuezeka taulo, hatujajua umuhimu wa taulo pale angajiachia tu na mwili wake na mikufu basi yakaisha,
Jikoni tulisha ona six packs kwenye pool right jikoni ata angevaa vest kidogo baba isinge umiza
and the pink blazer hii kama tulisha wahi kuiona kwa Ray Vanny well thats us na macho yetu
all in all its a nice video & nice song una weza kuiangalia hapo chini
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you will find 17117 more Info on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/amvfrafro-music-video-fashion-review-nambie-by-harmonize/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/amvfrafro-music-video-fashion-review-nambie-by-harmonize/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/amvfrafro-music-video-fashion-review-nambie-by-harmonize/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/amvfrafro-music-video-fashion-review-nambie-by-harmonize/ […]