Siku chache zilizo pita kulikua na Tuzo za Golden Awards 2016, kama ilivyo kawaida wengi huwa tuna subiri wakati huu kuona nani kavaa nini, wakati wengine wakisifiwa muigizaji Bibi Bright kutoka Ghana alikua na wakati mgumu kwani watu walikua waki mzodoa kwamba haja pendeza
Bibi alivaa gauni la kuonyesha (sheer) ambapo miezi kadhaa iliyo pita watu wengi walikua wakivaa kama beyonce,jlo na wengineo lakini kwake ime kua todauti maana watu wame mtupia madongo kwamba haja pendeza na ana onekana kama “fried Chicken” je wewe una onaje?
Related posts
5 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 91228 more Information on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/bibi-bright-atupiwa-madongo-kwa-mtoko-wake-huu/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/bibi-bright-atupiwa-madongo-kwa-mtoko-wake-huu/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/bibi-bright-atupiwa-madongo-kwa-mtoko-wake-huu/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 93198 additional Info on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/bibi-bright-atupiwa-madongo-kwa-mtoko-wake-huu/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/bibi-bright-atupiwa-madongo-kwa-mtoko-wake-huu/ […]