Ime pita muda mrefu hatuja uliza nani kapendeza zaidi kati ya watu wawili, ina onekana siku hizi watu wapo makini kuto kufanya repetition, lakini ni season ya Fiesta na sisi jicho letu lipo hapo hapo. Tume ona Dayna Nyange na Maua Sama waki tokelezea na thigh high Lace Up Boots, Je nani ame style vizuri hizi boots?
Dayna alivaa hizi boots na hot pant ya jeans, crop top nyeusi, stockens na accessories na long body chain
Wakati Maua alivaa boots hizi na hot pant nyeusi, vest nyeupe, blazer ame accessories na chocker
una weza kutupa maoni yako ya nani kapendeza zaidi kwa kutuandikia aktika box la maoni chini au tembelea katika kurasa zetu za mitandao ya kijamii
Facebook – AfroSwagga
Instagram – Afroswagga
Twitter – afroswaggatz
Related posts
6 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/dayna-nyange-vs-maua-sama-lace-up-boots-game/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/dayna-nyange-vs-maua-sama-lace-up-boots-game/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/dayna-nyange-vs-maua-sama-lace-up-boots-game/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/dayna-nyange-vs-maua-sama-lace-up-boots-game/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/dayna-nyange-vs-maua-sama-lace-up-boots-game/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/dayna-nyange-vs-maua-sama-lace-up-boots-game/ […]