Imepita muda mrefu kumuona mwanamuziki Naseeb Abdul ( Diamond Platnumz) akiwa well polished kama ambavyo juzi alikuwa, Diamond alikuwa amealikwa kama wedding guest na alivaa hii suit ambayo sisi tulipenda, he looked like a billion dollar bag.

Katika hii suit unaweza kuona a statement ni hii coat, the colors, the design, the fabric is nice, haikuchukua muda mrefu watu wakagundua kwamba hii coat inafanana na pazia, Well kama ambavyo tunajua watanzania tulivyo kila mtu akaanza kupost Diamond amevaa pazia.

Hatujaweza kuliacha lipitie bila kutia our two cents, nadhani tunahitaji kujua ubunifu ni nini, ubunifu ni hali ya kutoa kitu sehemu moja kupeleka sehemu nyingine in a good way, Speshoz ameona hikikitambaa kinaweza kuwa coat la suit na akalitoa na Diamond akapendeza basi hiko ndicho huitwa ubunifu.
Hivi vitambaa hukatwa na kutengeneza mapazia, haimaanishi haviwezi kutengenezewa kitu kingine, kwetu sisi tunasema kudos kwake Speshoz, we love the creativity.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] There you can find 86083 additional Info on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/diamond-platnumz-alivyovaa-coal-la-suit-lililotengenezwa-na-kitambaa-cha-pazia/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 68290 more Information to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/diamond-platnumz-alivyovaa-coal-la-suit-lililotengenezwa-na-kitambaa-cha-pazia/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/diamond-platnumz-alivyovaa-coal-la-suit-lililotengenezwa-na-kitambaa-cha-pazia/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/diamond-platnumz-alivyovaa-coal-la-suit-lililotengenezwa-na-kitambaa-cha-pazia/ […]
… [Trackback]
[…] Info to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/diamond-platnumz-alivyovaa-coal-la-suit-lililotengenezwa-na-kitambaa-cha-pazia/ […]