Jumamosi Fiesta ilifikia kilele chake ambapo wasanii mbalimbali kutoka Tanzania wali perform na hii ilikua only local artist kutoka Tanzania hakuna msanii mgeni aliye letwa, nice tuna appreciate vya kwetu. As usual sisi jicho letu lilikua nani kavaa nini na kapendeza au lah, sio wengi sana walio tuvutia lakini pia sio wengi sana walio haribu, wengi walikua vuguvugu yaani hawaja wow na wala hawaja chukiza
Tuanze na zilizo tuvutia
Maua Mama topped our list, alivaa all white outfit yenye urembo wa silver, tulicho penda ni yeye kutoka on her comfort zone, so crazy yet inavutia
Styled by stylist Noel Ndale, we are glad hawaku sahau stocking
Nandy nae hakua nyuma we loved her sequin blue top dress, ambayo ndani alivalia na pant nyeusi amemaliza muonekano wake na floral high thigh boots
we defensively loved the outfit hatuko sawa na hair style though she could have done better, nae amekuwa styled na Noel Ndale
Vanessa Mdee she kinda look too much but we liked it
hao ndio walio tufuraisha kwa wanawake kwa upande wa wanaume alikuepo
Ben pol he looked good in both of his outfit ya blue carpet na stage hapa alivaa white trouser kutoka kwa @mgombelwabrand designer kutoka Morogoro, Tanzania, wakati pink jacket ilitoka kwa mbunifu @ki2pe
his stage look ilikua black and white suit kutoka kwa @mgombelwabrand
Juma Jux nae he monochrome (black & white) his look was dope imekaa kisanii , white cut off t-shirt, distressed white jeans na black and white kicks, ame- accessorize na mkufu, hereni,miwani, pete na bracelets
Weusi walitisha na all black outfit wakimalizia mionekano ya na gold sequin bomber jackets walivalishwa na @theagness
kwa wale ambao hawakutuvutia sana alikua Rachel Kizungu zungu kwa wadada she had too much going on.
kwa wakak ni adam mchomvu wakati anaingia kwenye jukwaa la fiesta, we can say he looked like a joker au yule baniani mbaya ambae kiatu chake ni dawa, ila his stage look was fine.
Tuambie wewe umependa ipi na ipi imekuboa?
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/fiesta-2017-fashion-review/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/fiesta-2017-fashion-review/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/fiesta-2017-fashion-review/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 14164 more Info to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/fiesta-2017-fashion-review/ […]