Ni season ya offshoulder ndio kila mtu anavaa kata mikono, kuna wengi ambao tume waona kama Jokate, Vanessa Mdee, Hamisa Mobetto na sasa ni Fashionista Lavidoz. Kikubwa zaidi hii top imeonekana kuwavutia wengi maana kati ya hao tulio wataja watatu wame onekana kuivaa kwa rangi moja au nyingine tofauti, kama una kumbukumbu tulimuweka Hamisa na Jokate walivaa hii top kwa rangi ya blue na sasa ni Hamisa na Lavidoz katika Orange Off shoulder top
wote wawili wame vaa sawa na skin – jeans za blue, kasoro tu lavidoz ame beba clutch, hereni kubwa kavaa, bracelet na heels zilizo zibwa mbele
Wakati Hamisa kavaa open heels, small hearings na choker
Muonekano upi ume kuvutia sana/
tupe maoni yako kupitia
Facebook -Afroswaggamag
Instagram – Afroswagga
Twitter – Afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…