Kila msichana anapenda viatu vizuri, na utajuaje hiki ni kizuri ni jinsi ambavyo vitanunuliwa kwa wingi na utakutana nao wamevivaa kwa wingi, we all know Rihanna anajaribu kutupa kile roho inapenda kutoka kwenye viatu,make up na mavazi. Hivi viatu tumesha muona Rihanna mwenyewe amevaa na hapa kwetu wanadada wawili Vanessa Mdee na Tahiya wameonekana kuvutiwa navyo pia
Tahiya yeye alivaa hizi Fenty By Puma Ankle Strap Boots nyeusi na nyeupe na denim shorts, white blazer na ndani akamalizia na crop top nyeusi, blonde hair na nude make up, amemaliza muonekano wake na hereni na pete.
Hizi Fenty by Puma Strap ankle boots zinauzwa $307 sawa na 675,400 Tzs unaweza kuzipata hapa za rangi ya nude, we couldn’t find the blacks ones
Rihanna alionekana na hizi lace up strap ankle boots za nude akiwa amevalia na nude shift dress, akabeba na pochi nyekundu.
Kwa Vanessa Mdee yeye alionekana na hizi Fenty By Puma high heel suede sneaker na lace up top skirt na see through top huku ndani akiwa amemalizia na cropped top zote nyeusi.
Ameonekana amevaa tena na blue boyfriend jeans na black vest na black coat
Vinauzwa $99.99 kwa sale wakati mwanzo vilikua vikiuwa $600 sawa na 1,320,000 tzs unaweza kununua hapa
Rihanna alionekana amevaa lakini vya rangi nyeupe akiwa amevalia na two pieces gray outfit amemaliza na chocker, miwani saa na lv box bag
Who rocked the Fenty By Puma Shoes Best Between Vanessa & Tahiya?
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/how-vanessa-mdee-and-tahiya-styled-fenty-by-puma-lace-up-ankle-boots/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/how-vanessa-mdee-and-tahiya-styled-fenty-by-puma-lace-up-ankle-boots/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/how-vanessa-mdee-and-tahiya-styled-fenty-by-puma-lace-up-ankle-boots/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/how-vanessa-mdee-and-tahiya-styled-fenty-by-puma-lace-up-ankle-boots/ […]