Trench coats zilibuniwa kwa ajili ya kipindi cha baridi, kwa wale ambao bado hamjatupata tunaongelea nini trench coat’s ni zile coat ndefu zinazofika magotini. Coats hizi mara nyingi zinavaliwa kipindi cha baridi na fabric ambazo hutumika kutengenezea coats hizi ni nzito mno.
Kadri siku ambavyo zinaenda zimekuwa zikibadilishwa kwa namna moja au nyingine lakini pia fashionista wametafuta namna mbalimbali ya kuzivaa hata katika kipindi cha joto.
Hivi karibuni tumemuona muigizaji Wema Sepetu na mwanamuziki Zuchu wakiwa wamevalia vazi hili katika kazi zao, ikatufanya tujiulize hii hali ya hewa na hizi nguo zinaendana kweli?
Ukiangalia kwa umakini coats zao ni zile nyepesi sio nzito sana, rangi za coats hizi ni zile ambazo haziakisi jua kwahio hazina joto sana. Wema alivaa trench coat ya gray akiwa amematch na suruali akamalizia muonekano wake na top nyeupe.
Wakati Zuchu alivaa off white trench coat aliyo match na suruali akamalizia muonekano wake napull neck nyeupe.

Ambacho tungependa kuona Zuchu amefanya ni kuvalia vazi hili na top ambayo ina shingo ya kawaida au cami top ili kufanya vazi lionekane summer zaidi, pull neck imefanya aonekane kama amevaa vazi la winter.
Hayo ni maoni yetu tuambie kwako je umeonaje au ungependa nini kingefanyika katika vazi la Wema au Zuchu?
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…