Muigizaji, mchekeshaji, radio host na mshindi wa Big Brother Africa-Hotshots, 2014 Idris Sultan amekuwa gumzo huko mitandaoni kutokana na uchaguzi wake wa viatu katika hafla ya Uwekezaji Day 2023 amabyo iliandaliwa na bank ya CRDB.
Idris alikuwa moja kati ya waalikwa katika hafla hio na kilichofanya azungumziwe ni chaguo lake la viatu alivaa raba pamoja na moka yaani viatu visivyo fanana,

wengi waliuliza kwanini amefanya hivyo na kwa utetezi wake Idris alisema hawezi kuchukua masaa kuchagua kiatu gani avae,

Ni kweli kuchagua kiatu gani uvae wakati mwingine ni stress kubwa hasa kama unaona vyote vinapendezea na vazi lako, lakini tunaweza kusema pia hapa Idris amekosea kwa maana kuchagua viatu pia kunatokana na event unayoenda ni vyema kama angechagua kimoja wapo akavaa ili aonekane presentable inawezekana vijana wakelewa ni fashion lakini sehemu aliyoenda ilikuwa na nzito kuvaa hivi kunaweza kumfanya aonekane muhuni na next time ashindwe kualikika kwenye hafla za maana.
Well tulitoa tips za Namna Ya Kumatch Viatu Pamoja Na Mavazi Yako bonyeza kusoma zaidi. Na tupe maoni yako kuhusu hili kupitia box la comment hapo chini.
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…