Ukiongelea watu maarufu ambao wana slay kwa hivi sasa huwezi kuacha kumtaja Irene Uwoya, hatujui huyu mdudu slayer katika wapi ila one thing is for sure tunapenda tunacho kiona kutoka kwake. Irene ni msanii mkubwa sana na kuona kwamba anachukua muda wake kujiweka katika hali nzuri hasa kimavazi inatufanya tumpende zaidi. Haijalishi kuvaa brand au nguo tu za kawaida ila kama wewe ni mtu maarufu tunategemea kukuona smart mara kwa mara, hatuwezi kusema always maana we are all human’s lakini most of the times inafaa uonekane vyema hata ukikutana na fans wako usijishtukie.
Leo Irene amepost hii picha akiwa amevalia yellow dress akiwa amemalizia muonekano wake na Dolce & Gabbana Lurex Sandals With Sculpted Heels huku akiwa amemalizia na matching Dolce & Gabanna DG Girls Shoulder Bag, she looked good kwenye hii outfit as she should.
Tukataka kujua Je kama hivi vitu ni original basi Irene amenunua kwa shilingi ngapi? Tumeenda kwenye website ya Dolce & Gabanna , ambapo huko tulikuta viatu vinauzwa $ 1,295/- sawa na shilingi 2,976,169 za ki-Tanzania
Wakati hii shoulder bag inauzwa $ 2,095 sawa na Tsh 4,813,681.50 za Kitanzania kwahio vyote kwa pamoja amenunua kwa shilingi 7,787,169/- (kama vitu hivi ni original)
Oh well Oh well afromates what do you think Original or Not?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/irene-uwoya-dropped-tsh-7787169-for-these-dolce-gabbana-heels-and-shoulder-bag/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/irene-uwoya-dropped-tsh-7787169-for-these-dolce-gabbana-heels-and-shoulder-bag/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/irene-uwoya-dropped-tsh-7787169-for-these-dolce-gabbana-heels-and-shoulder-bag/ […]