Joh makini ni mwana hip hop kutoka Tanzania ambae kwa sasa ana jina kubwa mno, huwezi kutaja wana hip hop kumi ukamkosa Joh. Kuna wana Hip Hop wengi lakini leo tunamuongelea Joh na mitindo yake,
zamani tulizoea kuwaona watu wanao imba muziki huu wakiwa wana valia rafu ukimuuliza mtu kwanini hivi ata sema kwa sababu yeye ni mwana Hip Hop (mgumu) tofauti na sasa wana Hip Hop wamekua wakivalia vizuri sana tofauti na zamani. Kuna wana hip hop wengi ambao wana vaa vizuri wakiwemo Izzo Business, G Nako, King Zilla na wengineo, Joh ni mzawa wa Arusha tulitegemea atakuwa kigumu zaidi lakini cha kushangaza amekua tofauti kidogo,
tuna penda tunacho kiona hakuna sehemu ime andikwa ukifanya Hiphop basi ujiweke rafu. hizi ndizo chache kati ya nyingi zilizo tuvutia kutoka kwa Joh
kila kitu chake kipo sawa mavazi masafi na ni saizi yake, nywele japo ni rasta lakini ana ziweka ki usafi pia.
Related posts
6 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/joh-makini-hip-hop-na-mitindo/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/joh-makini-hip-hop-na-mitindo/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/joh-makini-hip-hop-na-mitindo/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/joh-makini-hip-hop-na-mitindo/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/joh-makini-hip-hop-na-mitindo/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/joh-makini-hip-hop-na-mitindo/ […]