Lebo za muziki Nchini zimekuwa zikisaini wanamuziki na kuwapa umaarufu,mikufu na magari lakini wanasahau kuhusu mionekano, Anjella ni moja kati ya wasanii waliopo chini ya label kubwa ya muziki Nchini Konde Gang lakini muonekano wake unaongea tofauti kabisa.
Anjella anahitaji a whole wardrobe detoxing her looks are not pleasing at all, mpangilio wa mavazi yake hauridhishi kwa mtu ambae anaimba nyimbo za mapenzi kuvaa kama rapper hai-make sense, yes inawezekana ndio style yake lakini tunadhani kuna namna nzuri ya kuiweka style yake kuendana na miziki yake.
na sio tu mavazi huyu msichana ana hitaji kununuliwa nywele hata 3 wigs nzuri au kuwa na msusi ambae atakuwa anamsuka mara kwa mara, Anjella anavaa sana durag’s na mizula ambapo kwa level yake tunadhani hivi vitu angeviacha kabisa.
Lakini pia kwenye accessory Anjella ana valishwa sana minyororo, hatujui ni mwenyewe ana chagua au anachaguliwa tunachojua anahitaji kuachana nayo, kuna accessories za bei rahisi ambazo zina quality nzuri tu. Tunadhani wangeanza sasa kutilia mkazo muonekano wake.
Yes kuna siku ambazo anapendeza lakini ni chache kulikozile ambazo anakosea, kama msichana peke yake kwenye record label yake tunadhani wanahitaji kumpa the power look she deserve.
Related posts
5 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Here you can find 67057 additional Information on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/judge-afro/anjella-anahitaji-stylist-asap/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/judge-afro/anjella-anahitaji-stylist-asap/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 92719 more Info to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/judge-afro/anjella-anahitaji-stylist-asap/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/judge-afro/anjella-anahitaji-stylist-asap/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/judge-afro/anjella-anahitaji-stylist-asap/ […]