Anjella mwanamuziki kutoka katika label ya muziki konde gang hizi juzi amesheherekea siku yake ya kuzaliwa, na kama ilivyokawaida ya watu maarufu wengi siku hii huwa wanaachia picha zao walizozipiga kwa ajili ya kutumiwa kuwatakia kheri katika siku yao ya kuzaliwa. Anjella nae hakuwa nyuma aliachia picha zake, tofauti na wengi za kwake zimetushtua kutokana na vazi lake.
Anjella Anahitaji Stylist ASAP
Alivaa hii strapless pink & white satin dress ambayo imetukumbusha miaka ya 90, kipindi cha kina Khadija Kopa na Nasma Hamis Kidogo walikuwa wanazivalia wakiwa wanaimba taarab. Hii gauni hatukuwahi kutarajia kama tutaiona tena 2021, yoyote ambae amemvalisha atakuwa nyuma na muda sana, bado tunaona stylist wake na yeye mwenyewe Anjella wana struggle kwenye kupata muonekano sahihi wa mwanamuziki huyu. Tunadhani wachukue muda wao kuangalia style gani zipo kwenye chat muda huu na kuziweka ziendane na Anjella, this is the worse birthday photoshoot outfit tumeiona 2021, ukizingatia hivi karibuni tu Wema Sepetu alitoa zake zilizo trend sana mitandaoni kwa ubora wake.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/judge-afro/anjellas-birthday-photoshoot-outfit-review/ […]
… [Trackback]
[…] There you will find 13410 additional Information to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/judge-afro/anjellas-birthday-photoshoot-outfit-review/ […]