Did we miss this section? Okay we missed you too, sababu ya sisi kuwa kimya ni kwamba hakukuwa na la kushtua sana kwenye upande wa styling kwenye music video zetu Tanzania ila hii ya Maluma na Rayvanny imetuamsha kidogo usingizini tukaona si mbaya tukaliongelea hapa.
Tutaongelea hili jambo moja tu kwanza nalo ni kuinvest kwenye mavazi. Wasanii wetu wanafanya investment kubwa sana katika location, magari mazuri kwenye video lakini mavazi ni kawaida sana, kwenye hii video kwanza kabisa tuseme tunashukuru tumepewa kipande kidogo sana cha kuonekana maana tungetia aibu kubwa sana.
Ukiangalia mwenye kipande kikubwa Maluma sio yeye tu na mavazi yake bali hadi dancers na video vixen wake mavazi yanaeleweka ukiangalia makeup, nywele, mavazi, viatu, the styling from head to toe na tukirudi upande wetu kuna tofauti kubwa. Tunaweza kusema unaweza kuona Maluma ame invest kwenye mionekano.

Tukirudi kwetu ni yaleyale tuliyoyazoea, dancers wamevaa tu wanavyojua wao kuvaa ilimradi wasimu-outshine muhusika, haijulikani kama ilikuwa summer au winter, theme ilikuwa beach au club kwa maana kuna ambao wamevaa track suit, kuna waliovaa beach wear, party dresses basi alimradi mvurugano lakini kubwa kuliko yote ni wale waliovaa sandals, wengine raba na wengine wakiwa wamepigilia zao heels.
well kwetu ni hilo kubwa tuliloliona, tupe maoni yako umeonaje kuhusu styling ya video hizi kwa pande zote mbili
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/judge-afro/cha-kujifunza-kutoka-kwenye-video-ya-maluma-x-rayvanny/ […]