Waswahili husema “Mgema akisifiwa tembo hulitia maji”, tumekuwa na tabia ya kusifia wedding guest wanaopendeza na kuwa watofauti katika harusi za watu, tunadhani sifa hizi nyingi zimesababisha wengine kuzidisha kiwango na kupitiliza mwishoe kuharibu.
Hivi karibuni kulikuwa na harusi ya hair stylist Aristotee ambapo baadhi ya watu maarufu walihudhuria katika sherehe hii, kuna baadhi ambao walionekana kupendeza na kuna wengine ambao tuliona wamepitiliza.
Moja kati ya vitu ambavyo vinashauriwa unapoenda kwenye harusi ya mtu ni kumuacha mwenye harusi aongelewe sababu ni siku yake, yaani pendeza kistaarabu na kuwa mstaabu katika sherehe ya mwenzio.
lakini pia kuzingatia aina ya mavazi tunayoyavaa yasiwe yanaonyesha sana maungo kuvuka mipaka au kuvaa vazi lenye rangi nyeupe, katika sherehe hii tuliona Masha love alivyovaa na yeye kuonekana kuongelewa zaidi kuliko wenye sherehe yao, cleavage ilikuwa too much ambapo iliondoa attention kwa wahusika.
Well ni matumaini yetu wakati mwingine hili kosa halitojirudia.
Related posts
1 Comment
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/judge-afro/je-tunavuka-mipaka-kama-wedding-guests/ […]