Katika vitu ambavyo huwa tunapaswa kuangalia katika kuchagua mavazi ni kujua sehemu unayoenda unatakiwa kuvaaje. Kuna sehemu ukivaa mavazi ya aina fulani unaweza kuwa kituko mfano: huwezi kuingia ofisini ukiwa umevalia pensi.
Hiki ndicho kilichomkuta mwanamuziki Rayvanny kutoka label ya WCB ambae alikwenda Nchini Kenya kikazi, akiwa huko alikwenda katika ofisi za Governor akiwa amevalia pensi, hood, dior socks na raba.

Like who wear such kind outfit kwenda kukutana na viongozi wakubwa wa Nchi na hata kama ingekuwa ofisi ndogo ni kweli hatujui nini cha kuvaa ukiwa unatembelea ofisi za serikali? alikosa hata suruali ya kitambaa na t-shirt au shirt akavaa na raba? Tunadhani its about time hawa watu kuwa wanazuiwa mlangoni ili waanze kujitambua kwenye swala zima la nini uvae wapi.
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/judge-afro/rayvanny-afanya-dhambi-ya-kutokujua-nini-avae-wapi/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/judge-afro/rayvanny-afanya-dhambi-ya-kutokujua-nini-avae-wapi/ […]