SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

#LETSTALKABOUT- WATANZANIA NA OUTFIT ZAO MTVMAMA2016
Fashion Cop

#LETSTALKABOUT- WATANZANIA NA OUTFIT ZAO MTVMAMA2016 

MTVMAMA Awards zime fanyika jumamosi ya tarehe 22 ambapo wa- Tanzania walikuwa nominated ambao ni Diamond, Vanessa Mdee, Ali Kiba ft Sauti Soul na Navy Kenzo ukiachana na hao kuna ambao walienda kutuwakilisha au kuwasindikiza wenzao (kuwapa support) kama Miss Tanzania Brigitte Alfred, Shilole, Naj, Baraka The Prince, Lady Jay Dee, Jokate na Sanchoka lakini pia alikuwapo Idris Sultan ambae yeye ali announce moja kati ya tuzo

kati ya hao  wote walio tajwa hapo kumi na tatu ni watatu tu ambao kidogo walituvutia na mavazi yao ya siku hio wengine wote walikua so/so kawaida mno.

tuanze na ambao walivutia mbele ya maco yetu,

Sanchoka huyu ni model au video vixen (we guess we are not so sure) ila kurasa yake ya Instagram ime jaa picha za ki model model, tume penda mtoko wake wa siku hio ambao alibuniwa na mbunifu Elisha Red Label kutoka hapa hapa kwetu Tanzania. Sanchoka alivaa gauni ya metallic na ambayo ina onyesha vilivyomo ndani sheer, tume penda as ni trend kwa sasa tumesha waona watu mbalimbali akiwemo Beyonce katika mitoko ya aina hii.

SANCHOKA

Idris Sultan did us justice, alivaa suit nyeusi na white shirt ambayo ilimtosha yaani ime endana na body yake aka accessorize na clear glasses

IDRIS

Brigitte Alfred Former Miss Tanzania alivaa gauni jekundu ambalo halina makelele mengi, ame accessorize  na silver clutch & silver accessorize, we love the look on her BRIGITTE

Diamond Platnumz hatuwezi kusema hii ni best look yake kwa kweli, tume muona diamond katika outfit mbali mbali ambazo alishtua zaidi ya hii all in all si mbaya sana wala si nzuri sana so/so

MOND

Aika na Nahreel wa navykenzo nao walikuwepo na tupo disappointed na mavazi yao hatuna hakika na kwanini Aika ame vaa hio belt hapo kiunoni na hizo gloves,

AIKA

Jokate ni mtu ambae we had much expectations on her kwamba ata pendeza mno kwenye red carpet but ika turn out vingine, gauni yake ina so much drama yani and the hair ni No JOKATE

Ali Kiba na koti lake lisilo mtosha, lakini ame hojiwa jibu lake ni kwamba suit yake aliyo panga kuvaa ilichafuka so he had to change, hatudhani kama kulikua na umuhimu wa yeye kuvaa koti la suit aliweza kuvaa shirt tu na suruali aka pendeza mno. wrong move KIBA

Naj na Jojo designer wao ni mmoja we guess too much drama labda hio lace ya chini inge ondoka au inge fanywa kuwa skirt na crop top tungeelewa zaidi.NAJ

hata pa kuanza kumuelezea shishi hatujui just WORSEEEEEEEEEE SHILOLE

Dada Jide mmmmmmmmmmmmh, hiki kitambaa ni kama walikatiana na aika eeh? mbunifu wake sijui ali chelewa kuishona au vipi nguo haikuwa sawa na ni mbaya kiufupi

14676705_203806080051124_3101023098460176384_n 14716435_1594565550849483_4022062870693937152_n

Related posts