Kuna watu ambao huwa tuna sema hawazeeki na miili yao ipo vile vile siku hadi siku kwa huko mbele wapo wengi kama Jada Pinkett Smith, Angelina Jolie, Gabriella Union na wengine wengi kwa hapa kwetu tunao wachache tunao jivunia akiwepo m-Tanzania anaye ishi Nje ya Nchi Bi Mange Kimambi, Mange sisi huwa tunamuita Kriss Jenner wa bongo anavaa vile anavyo jisikia na ana slay,
Jana mange amepost picha hizi akiwa amevalia blue dress yenye urembo wa silver kwa mbele na mikononi
Ni gauni zuri kweli lakini lakini tukienda kwenye wedding guest do and dont’s, unaambiwa usionyeshe too much skin na tuna weza kusema Mange kakiuka hii rule kaonyesha too much skin the dress would be better off kwenye red carpet than kwenye harusi
je our afrogang nyie mnaonaje?
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/mange-kimambi-too-much-cleavage-for-wedding-guest-outfit/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 53211 additional Info to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/mange-kimambi-too-much-cleavage-for-wedding-guest-outfit/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/mange-kimambi-too-much-cleavage-for-wedding-guest-outfit/ […]