Fiesta ya mwaka huu ime kua na muhamko sana upande wa fashion, wasanii wengi walitangaza kuvalishwa na wabunifu mbali mbali katika msimu huu wa Fiesta 2016, week iliyo pita Fiesta ilikua kanda ya kaskazini Arusha na ambapo Shuka la kimasai lilionekana kuwa ndio signature look ya siku hio mkoani humo.
Wasanii mbali mbali walivaa shuka hili jukwaani
Ben pol alivalishwa na mbunifu mgomberwa alivaa shuka la kimasai kiunoni kama skirt, akafungwa usongo wa kimasai, belt hii ilikua muhimu ili kuzuia shuka lisianguke, Sijajua kuhusu gloves kama ben alipanda na pikipiki jukwaani, tume penda the idea kwa sababu Arusha ni sehemu ambapo wana dumisha Mila na Desturi zao lakini huo usongo na Gloves mmh its a No
Hio Skirt inaitwa Tartan ambalo ni vazi linalo tambulika sana scotland
Feza Kessy
Chalii wa jambo hawa mara nyingi hupanda katika majukwaa na mavazi haya, wame style kama wamasai in which tume penda
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…