Kwa hapa kwetu Tanzania imekuwa kawaida ya watu maarufu kuboronga hasa kwenye mitindo huwa hawakai sawa utamsifia leo kesho anakuja na bomu lingine kabisa, ukaweza kujiuliza imekuaje? hii imeonekana kwa Maua Sama pia ambae last week aliachia picha mpya na mionekano mipya wengi walimsifia pamoja na sisi tulikubali.
Wahenga walisema “Mgema akisifiwa tembo hutia maji” hiki ndicho kilicho tokea kwa Maua Sama amelewa sifa akaamua ajaribu zaidi na mwishoe kuharibu kabisa,Japo tunaona style za zamani zinarudi kwenye chat lakini hatuja fikia bado kurudi huku, Maua ame rudi early 70’s ambazo hajajaribu hata kuedit.
Zile enzi za satini, ming’ao na rayzon
Kwa hii outfit Maua anaweza ku-fit kabisa katika hizo band za zamani hapo juu, amevaa a cheap satin trouser, top ya kijani yenye glitters akaja kumalizia na heels ambazo we can say zimepitwa na wakati lakini alipo kuja kutu confuse kabisa ni kuchagua blonde wig ambalo aliliachia tu hakuli-style.
Maua amemalizia outfit yake na miwani na gold belt. tuseme tu katika hii outfit tumependa vitu vitatu tu na pia avikivaliwa separately, miwani, belt na top.. we wish angechagua suruali nyingine na viatu vingine ingemake sence kwetu lakini with this outfit Maua played her self.
Tupe maoni yako kuhusu hii outfit kwako wewe umeionaje?
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…