We all love brothers who can dress up and of course smell good, hatujui kuhusu Oran kama ana nukia as hatujawahi kuonana nae ila one thing is for sure he can dress up (ila huwezi ku dress to kill halafu unuke vibaya right?), leo amekuwa man crush outfit of the day wetu baada ya kutembelea page yake Instagram na kuona ana faa, Instagram ana jiita @Oran_de_blues, ni majasiriamlai, marketer, commercial model na Fashinosta ( amen to a brother)
Oran in all black outfit tunadhani hapa ilikuwa bado gym na u fashionista hauja kolea vizuri
Hapa he is popping some colors, so much classy
casual in jeans, green shirt na white raba.
Ooh this picture ni moto, love everything katika hii picture, the colors,style, face serving kila kitu.
inaonekana nyeusi ndio kara anayo ipenda well way to go Oran wafundishe hawa vijana wa kibongo jinsi ya kupendeza
Je we umependa muonekanao upi tuambie
Instagram – aforswagga
Twitter – afroswaggatz
Facebook – afroswaggamag
Related posts
4 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/mcotd-oran-mbonile/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/mcotd-oran-mbonile/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/mcotd-oran-mbonile/ […]
… [Trackback]
[…] There you can find 29383 additional Information on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/mcotd-oran-mbonile/ […]