Abryanz Style And Fashion Awards zime fanyika usiku wa kuamkia leo ambapo nominees kutoka Tanzania walikuwa wengi mno na tume fanikiwa kuondoka na Tuzo 8. Hongera kwa washindi wote, wengi hawakufika so walichukuliwa tuzo zao na walio fika lakini katika walio fika alikuwepo Tanzanian PrideĀ Hamisa Mobetto ambae wengi wetu jicho lilikua kwake kuona atavaa nini na ata pendezaje? we all know Hamisa huwa harembi linapo kuja swala la zuria jekundu lakini ime kuwa tofauti kidogo na mategemeo yetu
Hamisa alivalia gauni la kijani ambalo si baya ni zuri mno lakini kuvaa kijani kwenye red carpet is very tricky, ni lazima ujue una valia kiatu gani na rang ipi itaendana nayo si kama nyeupe, nyeusi au nyekundu. gauni lime mtosha vizuri Hamisa tatizo lilikuja kwenye viatu, clutch, saa na nywele
viatu havija endana na gauni kabisa kwa sababu gauni lina stones za silver tuna dhani silver shoes zinge kuwa bora zaidi kuliko hizo za pink, tume penda that ka match hereni na clutch lakini vime zidi kuonyesha mtoko wake uwe awkward kutokana na kuto match vizuri na viatu. Na ana silver stones kwenye gauni, hereni nyeupe na clutch kwanini avae saa ya gold? outfit ipo off sana kutokana na tu na uchaguzi mbaya wa accessories na nywele ange zi style kidogo ki red carpet red carpet. Tumeongea sana kutokana na tuna jua Hamisa ange weza kuvaa vizuri zaidi ya hivi.
HII NI LIST YA WASHINDI KUTOKA TANZANIA
1. Rising Model East Africa -Abel K.
2. Best Dressed Female -Wema S. 3
.East Africa Designer Of The Year Martin K. 4. Most fashionable Video- Ally K
5. Most stylist female – Vee money
6. Most fashionable video- Aje ali K
7.East Africa Female Fashionista Of The Year -Hamisa Mobetto
8. Best Mesia Personality/ Entertainer Of The Year – Idris Sultan
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…