Miaka miwili mitatu nyuma Nandy alikuwa anatajwa katika wasanii ambao wanaongoza kwa kuvaa, na hii ilitokana na kwamba alikuwa anatumia sana stylist katika mavazi yake. kwa kipindi hiki tumeona kidogo amekuwa akiyumba kwenye swala zima la mavazi.
Tunaona kama anajaribu sana, yaani anaweza akavaa vazi likampendeza vyema lakini akaongezea kitu ambacho kinaruin the whole look. Mfano mzuri ni hii outfit ambayo amevaa hivi karibu. Bandage dress na ankle boots. Tulipenda the dress and boots na nywele zilikaa vyema lakini akaja kuongezea hiki ki mini bag na hizi layered necklase ambazo zili ruin muonekano wake kutoka kwenye boujiee to okay

Tuongelee kuhusu hii illfitted na unflattering suit, hatujui ni kwanini au nani alimshauri vae hivi, she had a lot going on na zote zilikuwa off, suit haikuwa imemtosha vyema, that mini handbag is cute but hauikuwa ina fit kwenye hii look, the glasses, hair, shoes all of them are cute but differently. Hii inatuonyesha unaweza kuwa na mavazi au accessories nzuri lakini endapo tu utakosea namna ya kuvi-put together unaweza kupata matokeo mabovu.

As much as tulipenda hii concept ya hii blue outfit lakini bado kulikuwa na mistakes ndogo ndogo kama ukiangalia kwa umakini kuna kitu amevalia ndani ambacho kinaonekana kwa nje, lakini pia miguuni finishing ya suruali haikuwa nzuri.

Tunadhani Nandy ni mdogo na bado anajaribu ku-experiment fashion mbalimbali lakini pia tunadhani she can do better as few years back.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…