SUBSCRIBE NOW

* Afromate kuwa wakwanza kupata updates zetu za kila siku!

Trending News

Subscribe Now

* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!

Trending News

NANI KAVAA VIZURI ZAIDI?
Fashion Cop

NANI KAVAA VIZURI ZAIDI? 

Katika pita pita zetu leo tumeona kuna watu maarufu wengi kutoka nje na ndani ya nchi ambao hawakutaka kupitwa na mtindo wa kuvaa nguo nyeupe tupu na watu wao wakiwemo Vanessa Mdee, Salma Jabu (nisha), Tausi Likokola na Brigitte Alfred Je kwa upande wako unahisi nani kavaa vizuri zaidi

BRIGTTE

Brigitte yeye liongezea kikoti cha pink na viatu vya pink una mpa asilimia ngapi

unnamed

Tausi alivaa kikoti, viatu virefu,kofia akiongezea na pochi je unampa asilimia ngapi?

 

vee

Vannesa amevaa simple tu alicho ongeza ni kofia je na yeye unampa asilimia ngapi?

 

NISHA

Salma Jabu nae hakua nyuma tofauti na wote yeye alivaa na raba (adidas nyeupe) pamoja na kofia ya Tanzania

Related posts

3 Comments

  1. weed

    … [Trackback]

    […] There you will find 55546 more Information to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/nani-kavaa-vizuri-zaidi/ […]

  2. cablagem informática

    … [Trackback]

    […] Info on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/nani-kavaa-vizuri-zaidi/ […]

  3. shroom chocolate bar Michigan

    … [Trackback]

    […] Info on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/nani-kavaa-vizuri-zaidi/ […]

Leave a Reply