Leo kwenye weekly highlight tuna Nigerian Theme, yes sote tunajua namna ambavyo wa-Tanzania tunaipenda hii theme na kuipatia haswa, na hii sio tu kwa Nigeria bali theme nyingi za Nchi nyingine huwa tunazipatia kama Indian wear n.k. Week hii tumeona Nigerian wear ndio ilishika zaidi, ambapo tumemuona mwanamitindo Hamisa Mobeto, Sarah Tz na Rukia Rucky kwenye hii style well lets start judging
Hamisa Mobeto dressed in Mobeto Styles,


Hamisa alihudhuria sherehe ya 40 ya mtoto wa mwanamuziki Mbosso na mpenzi wake Rukia Rucky, Rukia Rucky alivalishwa na Mobetto styles pia lets see the look


Mke halali wa konde boy (Harmonize) na yeye ametu-serve Nigerian look na tunaweza kusema she Nailed the look

Well afromates nani amekuvutia zaidi na muonekano wake?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/nigerian-wear-ruled-last-week-we-aint-mad/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/nigerian-wear-ruled-last-week-we-aint-mad/ […]