Kilicho kiki mtandaoni weekend hii ni premiere ya movie mpya wa Wema Sepetu iitwayo Heavensent, Wema alialika watu mbali mbali wakiwepo waigizaji wenzie na watu wengine maarufu as usual sisi jicho letu huwaga pale red carpet kujua nani kavaa nini na nani ameharibu na hawa ni baadhi ya tulio fanikiwa kuwanasa
Tunaanza na mwenye premier yake ambae ni Wema Sepetu, ali hit red carpet na gauni ya kijivu na black kutoka Elisha Red Label we must say alipendeza sana na make up ilikua on fleek
kulikua na after party ambapo alivaa gauni jekundu kutoka kwa mbunifu huyo huyo Elisha kwetu sisi hii gauni hatuja ielewa hata kidogo haija faa kuwa katika after part ina semekana hio nguva chini ilitolewa lakini bado hatuja pata picha zake
Juanitha nae alikuwepo tumependa sana gauni yake japo nywele, makeup na accessories zime muangusha sana, the dress lilikua elegant kama ingekuwa sisi tunge accessories kidogo sana maana gauni yenyewe imesha nibeba
Aunty in a black & gold jumpsuit
Esma nailed in a black slit dress ila esma huu mguu haukuuma kweli? looking lovely though
Martin Kadinda, Liliane Masuka
Joan hii kizungu sana tumependa kila kitu, gauni zuri na ume less accessorieze makeup simple hair game on pointÂ
Elizabeth Michael aliattend akiwa na gauni jeusi lenye urembo wa gold, so far tumependa make up na nywele japo gauni sio baya pia
tupe maoni yako kupitia mitandao yetu ya kijamii
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/red-carpet-heaven-sent-movie-premier/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 16445 additional Information on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/red-carpet-heaven-sent-movie-premier/ […]
… [Trackback]
[…] Information to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/red-carpet-heaven-sent-movie-premier/ […]