Okay ni jumatatu nyingine tena na kama kawaida huwa tunawaletea highlights za week iliyopita, week hii tumeenda global na kuona wenzetu wamefanya nini huko Nchi nyingine. Kulikuwa na events mbalimbali ambapo tumetoa looks zilizotuvutia.
Mbunifu na fashionista kutoka Ghana Nana Akua Addo won our hearts in this stunning dress kutoka kwa mbunifu carysantiago, Nana alikuwa anahudhuria katika Glitz Afrika Awards, she showed up & showed out.


Muigizaji Zynnell Lydia Zuh kutoka Ghana na yeye alikuwa katika Glitz Africa Awards yeye alikuwa ana drip in this gold fit, gauni inatoka kwa mbunifu sima_brew , we love how extra and yet beautiful this look is.


Toke Makinwa served us all white fit by @ericamoorebrand, we all know Toke is extra, this look is everything and more, yaani tunaweza kusema imelipiwa na VAT.

Rihanna Mwenyewe Ameattend kwenye event yake ya Diamond Ball akiwa amevalia Hii Givenchy Black & White Dress, Fenty Pumps, Amemaliza Muoneokao Wake Na Red Touchs, Slaying Effortlessly

Tuambie muonekano upi umekuvutia sana kati ya hii mionekano minne ya week hii.
Related posts
6 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/red-carpet-worthy-looks-from-last-week/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 54026 additional Info on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/red-carpet-worthy-looks-from-last-week/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/red-carpet-worthy-looks-from-last-week/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/red-carpet-worthy-looks-from-last-week/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/red-carpet-worthy-looks-from-last-week/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Info here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/red-carpet-worthy-looks-from-last-week/ […]