Naomi na Rihanna ni marafiki wa karibu mno japo kazi wanazo zifanya haziingiliani, Rihanna ni mwanamuziki wakati Naomi ni model lakini haija wazuia wawili hawa kuwa karibu na hii ndio labda ikapelekea mpaka wawili hawa wawe na jicho moja katika mavazi, Leo tupo nao katika nani kapendeza zaidi (who rock it best)
ambapo gauni hili alionekana nalo mara ya kwanza Rihanna mwaka huu mwezi april akiwa kavilia katika cover ya vogue magazine
Wakati Nami yeye ameonekana nalo jana katika New York fashion Week katika Show Ya Tom Ford ina bidi tuulize nani kapendeza zaidi?
Kutupa majibu yako tafadhali tembelea kurasa zetu katika mitandao ya kijamii
Facebook- Afroswaggamag
Instagram- Afroswagga
Twitter – Afroswaggatz
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…