Fashion blogger kutoka Nigeria Stella Uzo ambae blog yake inaitwa Jadore Fashion, huwa ana sifika kwa kutupa namna mbali mbali za ku style nguo au viatu mara mbili, Mfano anaweza kuvaa mtoko wake akavaa na snikers na heels hii ina mpa msomaji wake choice ya kuchagua kama atataka kuvaa kama yeye basi ana namna mbili za kuvaa, na ndicho alicho kifanya hapa kwa hii top, Mara ya kwanza alivaa na pencil skirt ambayo mwenyewe alisema ni Valentine day outfit
Lakini mara ya pili amevaa tene hii top na skin jeans lakini viatu ni vile vile alicho badilisha ni nywele na accessories
Je ume penda mtoko upi kati ya hio miwili skirt au skin jeans? tuambie kupitia
Instagram – afoswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/skin-jeans-au-pencil-skirt-na-hii-ruffle-top/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/skin-jeans-au-pencil-skirt-na-hii-ruffle-top/ […]