The pleated skirt bado iko kwenye chat, every fashionista owns it na wana zi style namna tofauti tofauti kati ya wengi tulio waona wapo hawa ma fashionista kutoka South Africa Bonang Matheba na Kefilwe Mabote, Bonang na Kefilwe wana role tofauti katika jamii lakini wote wana julikana kwa kitu kimoja kuwa stylish all day every day.
Na wame post hizi picha siku chache tu baada ya mmoja ku post rangi si sawa lakini skirt ni moja na some how walivyo zi style wame style sawa
bonang went for a pinkish outfit ambapo alivaa pink pleated skirt na vest nyeupe aka tupia na baby pink bomber jacket, kamaliza muonekano wake na pink pumps, miwani, mikufu na handbag yenye blue na pink
Wakti kefilwe yeye alienda minimum alivaa silver mettalic pleated skirt, akavaa na yeye vest nyeupe katupia na red coat huku akimalizia muonekano wake na mettalic open heels,black handbag na hereni
Je nani kakuvutia sana na mtoko wake Bonang au Kefilwe? Tuambie kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/south-african-battle-kefilwe-x-bonang-in-pleated-skirt/ […]