Tulidhani hili swala tumesha limaliza toka mwaka jana tulipiga kelele sana la kushirikiana kati ya stylist, wabunifu, wanamitindo na make up artis, kiukweli kabisa hawa ni kama bahar na chumvi ikikosekana basi hilo huwa ziwa au mto. Wabunifu wanamitindo hawana kazi, bila wana mitindo wabunifu hawawezi ku showcase kazi zao, stylist nao wanawahitaji wanamitindo na wabunifu lakini pia makeup artist.
Leo tumeona post kutoka kwa mwanadada Fahyma akiwa amevalishwa na mbunifu speshoz, we all know speshoz ni mbunifu mzuri sana wa mavazi lakini linapokuja swala la kuonyesha mavazi yake na hasa katika kuwavalisha wanamitindo vitu huwa tofauti kabisa mfano mzuri ni huu wa yeye kuwavalisha au kutatumia Fahyma na Irene kama models katika kutangaza mavazi yake. Kwa hapa tunaweza kusema models wako perfect fine wana miili mizuri tatizo labda ni kujua how to pose lakini katika upande wa make up tuki include na nywele pamoja na style is just uugh
Tukianza na Irene, nywele haziendani na outfit as amevaa corporate alitakiwa kuwa style na nywele zinazo eleweka inaweza kuwa same color na style ila iwe ime kaa vizuri sio kupinda kama hapa, na pose pia ziko kawaida tunadhani kama speshoz angetafuta watu wa kumsaidia kama stylist na makeup artist wange mtengeneza vizuri Irene na kumuelekeza apose vipi
Fahyma ndio kabisa nguo hazimtoshi, amekuwa styled vibaya, pose hakuna its just a bora liende kind of photo shoot, Speshoz needs to step up his game anarudi kwenye upcoming badala ya kupanda, we understand ndio unaanza na nguo za kike lakini same effort ulifanya kwenye nguo za kiume ufanye na hapa tunaweza kusema una experience tayari huitaji msaada.
Nguo ni nzuri mno lakini zimekuwa styled vibaya na kuleta mushkeri ni matumaini yetu mpaka kufika mwisho wa mwaka haya mambo tutakua tumesha yarekebisha
Related posts
4 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/speshoz-anatuonyesha-kwanini-wabunifu-wanahitaji-stylist/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/speshoz-anatuonyesha-kwanini-wabunifu-wanahitaji-stylist/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/speshoz-anatuonyesha-kwanini-wabunifu-wanahitaji-stylist/ […]
… [Trackback]
[…] Here you can find 17300 additional Information to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/speshoz-anatuonyesha-kwanini-wabunifu-wanahitaji-stylist/ […]