Idirs Sultan mshindi wa big Brother mwaka jana ni moja ya watu ambao wana penda mitindo, Idris ana uwezo wa kukivaa kitu kimoja mara nyingi kwa namna tofauti na akapata mionekeno tofauti na hhio ndio maana nzima ya Fashionista. Katika vitu ambavyo vinaonekana kumvutia Idris ni Koti na Scarf ambapo mara nyingi katika mitoko yake amekua akivitumia. Leo tunaongelea scarf mpaka sasa Idris amevaa Scarf hivi kwa namna tatu tofauti
1) Mtupio
Hii ni ile namna ana ivaa tu shingoni na itupia basi.
2) Turban style
Hapa Idris amechukua scarf zake na kugeuza kuwa kiremba we love this one hasa kwa wanaume wa ki Africa ni ngumu kidogo kuwa stylish kiasi hiki.
3)Scarf ndani ya koti, hii ni style mpya ambayo anayo kwa sasa ametupia scarf yake shingoni lakini kwa nje amevalia koti nice.
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…