2019 Imebakisha siku kumi na moja uishe kama ambavyo ilivyoada huwa tunakuletea report ya mwaka mzima, na mwaka huu tunaanza na watu maarufu ambao wamejiongeza mwaka huu na wakuwa watched mwakani.
- Gigy Money
Gigy amekuwa katika list yetu ya wasanii wasiojiweza katika mavazi kwa muda mrefu, her style haikuwa ina match na jina lake lakini tumeona anaanza ku-improve na kujiweka vile ambavyo anatakiwa kuwa.
As we said anaanza kujiweka bado hajafikia panapo takiwa lakini ni mara chache kumkuta kaharibu. Tumependa kwamba ana partner na maduka mbalimbali ya mavazi, viatu,nywele na makeup the only thing tungependa ajitahidi nacho ni kuwa serious na mavazi yake, ameshapata sehemu achague quality & classy clothes lakini pia wigs ziwe zimetengenezwa vizuri all in all she did her best 2019
- Fahyma A.K.A Fahyvanny
Tulishawahi kuongea kuhusu mwanadada huyu, ana mwili mzuri, mrembo lakini hakuwa anajua asimame wapi linapokuja katika swala la mitindo lakini hivi karibuni tumeona akijitahidi sana katika mionekano yake. Amepata tuzo kadhaa za mitindo ikiwepo ya SWF kama Fashionista of the year. Tunachoweza kusema kwake kupendeza sio tu kwenye mitoko maalum ajitahidi kutulia mkazo na casual looks zake. Pia a-upgrade accessories & shoes department yake, but she tried in 2019.
- Linah Sanga
Japo bado ana long way to go lakini hatuwezi ku-ignore the fact that she is trying, Linah ameonekana kutilia makazo mitoko yake hasa ya casual, tungependa kumuona more kwenye events, more casual look na different style. Lakini so far so good.
Well Afromates nani unadhani alifanya vizuri 2019 anatakiwa aongezwe kwenye list hii?
Related posts
HOT TOPICS
Happiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/VZ1jH2zJUg
FollowHappiness Magese Akionyesha Wanawake Warefu Namna Ya Kuwa Stylish: Kwa wanawake warefu huwa… https://t.co/689j7Yjcn0
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
Feza Kessy Atuelezea Kuhusu Fashion & Style Zake
Feza Tadei Kessy ni Muimbaji, Muigizaji lakini pia ni mtunzi wa nyimbo lakini pia Fezza ni former beauty queen ambapo mwaka 2005 alikuwa Miss Dar City Centre, Miss Ilala & Miss Tanzania Runner up. Lakini pia alishawahi kuwepo katika Reality Tv Show – Big Brother Africa. Kwa…