Kila week huwa tunawaletea weekly fashion highlights na ikiwa leo jumatatu inamaanisha ni siku ya kupata nani alivaa nini na nani alipendeza na yupi hakufikia viwango, well tuanze na wale waliofanya vizuri.

Weekend ilikuwa na harusi na hii ilikuwa sherehe ya dada yake mwanamuziki Nandy aitwae Celine Mfinanga, gauni ilibuniwa na kushonwa na mbunifu Kyamirwa, this dress is master piece, breath taking kutoka kwenye design, fittings, rangi hadi finishing. Kyamirwa did that.

Fahyma anatupa fire after fire, this print co-ord set is everything, imemfit vizuri, rangi nzuri, makeup & hair on point & our girl did update her shoe collection, we love these pair.

Mwanamuziki Nandy akiwa in purple dress, rangi na design ya dress ni nzuri sana, makeup on point, nywele zilikuwa nzuri ambacho kilitutoa kidogo ni viatu na crown, lakini gauni imenyanyua muonekano from 0-75
sasa tuone wale ambao walizua gumzo na sio kwa namna nzuri

Nandy alienda ku-perform katika One Africa Music Fest, akiwa amevalia hili vazi, linatuma some type of Beyonce X Michael Jackson vibes ambapo tunadhani kama ingevaliwa vizuri basi ingekuwa Fire. The fact that hii nguo tayari ina mambo mengi yanaendelea tulidhani Nandy angejaribu kuwa-less katika vingine eg angechagua kati ya nywele na kofia kimojawapo kitoke, lakini pia choice ya rangi ya stockings haikuwa njema we say its a good outfit but wrong styling.

Lulu Diva ametu-disappoint sana unawezaje kuvaa chef hat ( kofia ya wapishi ) kisha ukaacha nywele zitokee kiasi hiki mpaka kuingia kwenye sufuria la chakula? hajui kazi ya hizi kofia? hakuweza kubana nywele? why did she post this picture anyways?
well afromates ni hayo tu kwa week hii, tupe maoni yako kuhusu hii mionekano katika box letu la comment hapo chini
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/the-best-and-worse-looks-from-last-week/ […]
… [Trackback]
[…] Read More Information here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/the-best-and-worse-looks-from-last-week/ […]