Kwa muda mrefu Rihanna amekuwa akitajwa kama Fashion Icon ni kwa namna ana weza kuvaa kitu akapendeza effortless lakini pia mitindo yake huwa migumu lakini mwenyewe ana pendeza siku mbili tatu zilizo pita tuliona jinsi Rihanna na Kim Kardashian walivyo jibizana kidogo katika mitandao ya kijamii kutokana na Kim kuiga Style ya Rihanna kama hukuona soma hapa https://afroswagga.com/habari/beef-ya-ki-fashion-kati-ya-rihanna-na-kim-k/
Baada ya siku chache toka tukio hilo litokee tumeona wadogo wa Kim Kardashian nao waki iga mitoko ya Rihanna hii ime tufanya tuwaze ni coincidence? au wame kua wakiiga toka zamani lakini hatuku notice au ni kutaka kuchukua lile jina la Fashion Icon la Riri?
Kendall akiwa amevaa same red heart coat ambayo aliivaa Rihanna kipindi kifupi cha nyuma
Siku mbili tatu zilizo pita Rihanna alionekana na hio pink coat ambapo Kylie Jenner nae ameonekana kuiga hio style,
Tupe maoni yako kupitia
Instagram – afroswagga
Twitter – afroswaggatz
Facebook – afroswaggamag
Related posts
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…