Committee ya kujudge weekly looks is back, hii segment tunaangalia looks mbalimbali kutoka kwa watu maarufu katika week iliyoisha. Week hii tuna Hamisa Mobbeto, Zarina Hassan, Wema Sepetu, Lavidoz, Joujou Nyaki pamoja na Gabo Gozimba. Katika hawa kuna ambao tumependa mionekano yao na wale ambao kidogo walienda mrama.
Hamisa Mobetto In Mobetto Styles Dress, we like the red look gauni imemkaa vyema makeup, hair, accessories on point our concern is are gonna see her in these types of dress always? hatuwezi kutoka nje ya box? we need something new please

Tumemuona Zari the boss lady akiwa amevalia gauni la kitenge, okay lets say this hatukuwahi kufikiria in million years kumuona Zari akiwa amevalia vazi la kitenge. Akiwa Chicago amehudhuria Miss North Uganda akiwa amevalia double layered mermaid dress akiwa amemalizia na fascinator ya kitenge, we love the look but the accessories & hair are not doing the look justice.

Wema Sepetu in black mermaid dress by Kenny The Brand, well whats new is the body the rest are just regular.

Stylist Joujou Nyaki served us cocktail, hii colorful outfit won our best dressed of the week. Namna ambavyo ame dare kuchanganya rangi na bado akawa perfect is an art.

Gabo Zigamba akiwa amevalia suti kutoka kwa my tailor hii tutawaachia wasomaji wetu m-judge je slayed au played?

Well afro mates tuambie look gani imewavutia na ipi mmeona imezingua?
Related posts
2 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
We need to have some sort of bima ila for enjoyment. Yaani wanakata ka % ka mshahara kako unakua na card ukienda se… https://t.co/W9oDoaN2YY
FollowSubscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/the-slayed-and-played-looks-from-last-week/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/the-slayed-and-played-looks-from-last-week/ […]