Wana sema expect any thing when it comes to fashion, nani ange fikiri hizi adidas sport track zinge rudi kuwa kwenye trend miaka hii? ime kuwa muda mrefu hii trend ime kufa watu wakawa wana tumia hizi tracks wakati wa kufanyia mazoezi ( well that is what they are made for) , miaka ya 1980 zili valiwa sana lakini zikiwa na kitambaa flani kama plastic ukitembea una sikia mlio wa chwaa chwaaa (lol) tume kumbuka mbali kipindi hicho zilikuwa zina valiwa sana na wana muziki wa hip hop ect.
Lakini zime rudi katika kitambaa kingine na katika style nyingine na hawa ni baadhi ya fashion bloggers walio vutiwa na trend hii
khloe Kardashian
Kim Kardashian
Stella Uzo wa J adore she be cooling like that
kama unayo uliiweka tu kabati ni muda wako sasa wa kuitinga
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
8 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/trend-sport-track/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/trend-sport-track/ […]
… [Trackback]
[…] Read More here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/trend-sport-track/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/trend-sport-track/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/trend-sport-track/ […]
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/trend-sport-track/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/trend-sport-track/ […]
… [Trackback]
[…] Find More here on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/trend-sport-track/ […]