Katika kuchagua mitoko ya mahala popote kuna vitu muhimu viwili vya kujua ili kuweza kukusaidia utokeje. Vitu hivyo ni
1)muda wa tukio – huwezi kuvaa ming’ao mchana na wala huwezi kuvaa ma jeans usiku,
2) Eneo – Tukio lina fanyika wapi maana kuna matukio yana fanyika beach huwezi kwenda ume vaa maguo ma reefu
Kwetu wa Tanzania inaonekana bado tuna tatizo katika muda na kwanini tuna sema hivi kuna tukio la Malkia wa Nguvu ambalo lilifanyika Weekend iliyo pita watu maarufu, wasanii na wanawake waliopo katika kila sekta walijumuika katika hafla hio lakini kati ya hao wengi wengi walionekana kuto kujua nini wavae wakati gani na mmoja wapo akiwa presenter wa Take One kutoka clouds Tv Zamaradi Mketema.
Zama alionekana akiwa amevalia a backless floral dress katika red carpet ya mchana hii ika tufanya tuseme real now Zamaradi Real?
Haikua mbaya alipendeza mno lakini tatizo tu ni kwenda na muda tuna dhani hili gauni linge valiwa usiku linge leta mantiki zaidi kuliko kulivaa mchana
Angevaa tu simple ila akapendeza just like Jokate Mwegelo
Ya kwetu sisi ni hayo tu ni matumaini yetu mmejifunza kuhusu kuchagua vazi kutokana na muda na eneo unalo enda
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
2 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/tuna-tatizo-la-kujua-muda/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/tuna-tatizo-la-kujua-muda/ […]