Hawa ni wadada wachache ambao wana followers wengi Instagram lakini si watu maarufu, Wengi huwafollow kwa sababu ya mitindo yao na kati ya hawa wengi hutuma picha zao za mavazi yao kila siku ni namna gani wamevaa. Angalia Picha chache za mitupio yao na tuambie yupi katisha.
Anaitwa @eppielunji hana followers wengi sana ila ni Fashionkiller
@neneeblackchyna yeye mara kwa mara anapost alicho kivaa pia ni mkali katika mitindo
@pvcambo huyu pia ana fanya mziki lakini ana fanya vizuri katika mitindo
@samia_juer ni fashionista pia
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More Information here to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/watupiaji-instagram/ […]
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/watupiaji-instagram/ […]
… [Trackback]
[…] Info on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/watupiaji-instagram/ […]