weekend hii habari ilikua mwanamuziki Diamond na mpenzi wake ambae ni mjasiriamali kutoka Uganda Zarina Hassan a.k.a Zari the boss lady wakiwa katika bae cation, sote tunajua Zari amefiwa na mama yake mzazi hivi karibuni Diamond amechukua hii nafasi kumtoa kidogo apate kutokufikiria sana, well sisi macho yetu yalikuwa kwenye mitoko ya huko,
siku ya kwanza walivaa match match outfit, ambapo diamond alivaa blue shirt ya mikono mifupi, pant,slides, socks, ame accessories na miwani,hereni, mikufu na pete ambazo tungependa kama angezipumzisha maana za nini sasa beach?
Zari yeye alivaa blue pleated dress ambayo haikua fupi sana wala ndefu, ame accessorize na miwani, saa na bracelet well labda zilikua za kupigia oicha tu halafu waka zitoa all in all tumeipenda hii look
Siku ya pili Zarina alivaa gauni jeupe ambalo linaonyesha cleavage tumependa the dress pia so calm
Diamond alivaa hizi tracksuits ambazo zime tushangaza kidogo bae cation na full tracksuit tena akafunga na zip mpaka juu? we beg anhem
Kwa siku ya pili hii hii usiku walivaa black na tumependa mno Diamond alikua ana perform Nairobi, Zari alipendeza na hili gauni lake japo tulipenda kumuona in something short as ni club na sio dinner part au red carpet all in all wamependeza
tupe maoni yako kuhusu mionekano yao kupitia mitandao yetu ya kijamii (kusoma kuhusu vocation nyingine ya Diamond na Zari bonyeza hapa)
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/weekend-highlight-zari-diamond-bae-cation/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/weekend-highlight-zari-diamond-bae-cation/ […]
… [Trackback]
[…] Find More Info here on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/weekend-highlight-zari-diamond-bae-cation/ […]