Kilicho trend mitandaoni wiki hii ni haya mavazi ya auntie Ezekiel, Harmonize na Shilole katika tour ya harmonize huko mtwara, tuna weza kusema wasanii wetu bado wapo nyuma sana kimavazi na hakuna mtu wa kum-blame than wasanii wenyewe kwetu sisi tuna dhani unapo ipenda kazi yako na kuiheshimu utatafuta kila namna ya kuiboresha kila siku na si tu kufanyia mazoezi sauti yako au namna ya kucheza ukiwa kwenye stage bali pia muonekano wako haya mavazi Harmonize, Shilole na Auntie wame vaa hata mtu tu wa kawaida hawezi kuvaa
siku ya kwanza ya tour walivaa hivi, una weza kuona nywele za Shilole na Auntie hazijakaa vizuri, mavazi hayana mpangilio mzuri. Mwenye show alichagua kuvaa pink kitu ambacho si kibaya lakini rangi tayari ina shout alitakiwa kwingine awe plain tu lakini akaongezea mtandio wa pink which ruined the whole outfit
Hii siku ya pili Auntie alivaa hii skirt ya njano na lace blouse (hatuna uhakika) na fishnet napo alienda kushoto kabisa
Kama tour ilipangwa tuna uhakika kulikua na muda mrefu tu wa kujiandaa kimavazi unless otherwise watu watakuwa wanakuja kwenye show kuangilia vituko vya mavazi na si kuenjoy mziki mzuri.
Tupe maoni yako kupitia
Instagram – afroswagga
Facebook – afroswaggamag
Twitter – afroswaggatz
Related posts
1 Comment
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/weekend-highlights-harmo-night-tour/ […]