Tunapenda pale tunapo wakuta slay queens wamevaa kitu kinacho fanana sio kwa sababu ya kuwaringanisha hapana lakini kwa sababu tunapata kujua namna gani ya ku -style kitu hiko katika namna mbali mbali na leo tume wakuta Fashion blogger kutoka Tanzania Lavidoz na Slayer kutoka South Africa Bonang Matheba wamevaa almost kila kitu sawa
Bonang Matheba alivaa hii statement blue chic blouse na white wide leg pants, white open heels amemalizia muonekano wake na blue handbag,pearled earrings na bangles.
Wakati wakwetu Lavidoz nae amevaa same top na white wide legs pants yeye amevaa na nude pumps akiwa amemaliza muonekano wake na big statement earings na shades as usual rocking earth toned makeup
unadhani nani amependeza zaidi na outfit hii? Lavidoz au Bonang?
Related posts
3 Comments
Leave a Reply Cancel reply
You must be logged in to post a comment.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Read More to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/who-rocked-this-statement-blouse-better-lavidoz-or-bonang-m/ […]
… [Trackback]
[…] Information on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/who-rocked-this-statement-blouse-better-lavidoz-or-bonang-m/ […]
… [Trackback]
[…] Read More on on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/who-rocked-this-statement-blouse-better-lavidoz-or-bonang-m/ […]