Style Your Soul ni brand ya mavazi kutoka Tanzania, unlike other brands za Nchini kwetu Style Your Soul ipo advanced, mavazi yake yapo kisasa na quality yake ni nzuri sana. Well tume wa spot fashionista watatu wakiwa wamevalia Style Your Soul’s body suit ambayo ndiyo mzigo mpya katika suka lao kwa sasa, ni long sleeve body suit ambayo ina buttons kwenye mikono na Style Your Soul Logo mkono wa kulia, unaweza kuona material yake ilivo nzuri na unaweza kuivaa kama top na chochote skirt,suruali, pant au hata ndani ya gauni yenye short sleeves.
Waswahili husema kizuri cha jiuza na kibaya cha jitembeza, basi hii imeonekana kwenye hii body suit imetokea kujiuza as tume spot fashionista mmoja na fashion bloggers wawili wakiwa wame rock hii body suit
Model & Makeup Artist Cherie Mals alionekana kuvaa body suit hii ikiwa na rangi nyekundu, high waist trouser nyeusi na pumps nyeusi amemalizia muonekano wake na red hair, big hoop earrings na red lipstick
Lakini Fashion Blogger Jackie M FERNWEH nae alionekana kuvutiwa na body suit hii yeye alichagua ya rangi nyeupe ambapo aliivalia na gray trouser,akiwa amemalizia muonekano wake na pochi ya gray pia ame accessorize na mirror shades na hat
Wakati stylist lavidoz yeye amevaa cream version ya hii body suit na blue jeans akimalizia mtoko wake na her favorite nude pumps na miwani
Tuambie nani kakuvutia zaidi na hii body suit kutoka kwa brand ya hapa hapa Tanzania kati ya Cherie Mals, Jacqueline na Lavidoz?
Related posts
3 Comments
Comments are closed.
HOT TOPICS
Subscribe for newsletter
* You will receive the latest news and updates on your favorite celebrities!
Interviews
Fahamu Zaidi Kuhusu Vazi La Vijiko Kutoka Kwa Harmonize
Mwanamuziki Harmonize ametoa wimbo wake mpya uitwao Attitude, katika music video ya wimbo huu Harmonize ameonekana akiwa amevalia vazi la leather lenye vijiko, uma na visu ( silverware/ cutlery ) Vazi hili limeonekana ku-trend sana wengine wakiwa wanalisifia na wengine kuliponda, tumemtafuta stylist na mbunifu…
Maoni Ya Mbunifu Elisha Red Label Kuhusu Event Ya Miss Tanzania 2020
Tanzania imepata mlimbwende wake mpya ambae ataenda kuliwakilisha Taifa mwakani katika mashindano ya Dunia ya urembo. Tumeona sio mbaya kama tukifanya mahojiano na baadhi ya wabunifu, makeup artist na stylist ambao wametupa maoni yao kuhusu event hii. Hapa tunae mbunifu mkubwa wa mavazi ya kike…
Meet Eddie A Young Male Makeup Artist In A Female Dominated Industry
Anaitwa Eddie ( Makeup By Eddie ) ni mvulana ambae anafanya vizuri katika tasnia ya urembo, Eddie ni makeup artist tofauti na wengine Eddie yeye ni mvulana na kama ambavyo tunajua tasnia hii imetawaliwa sana na wanawake katika bara letu la Africa. Tumepata kujua mawili…
Husiyo Yajua Kuhusu Vaazi
Weekend hii tuliweza shuhudia maonyesho ya mavazi katika Tanzania Summer Festival iliyofanyika pale Double Tree Hotel. Tulivutiwa sana na kazi ya mbunifu chipukizi [pia stylist Vaazi na hivyo kuongea naye mwawili matatu juu ya kazi zake. AFRO: Umetambulika kama stylist anayechipukia na kufanya vizuri, waweza…
… [Trackback]
[…] Find More on to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/who-rocked-this-style-your-soul-body-suit-better-between-cherie-mals-lavidoz-and-jacqueline/ […]
… [Trackback]
[…] Find More on on that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/who-rocked-this-style-your-soul-body-suit-better-between-cherie-mals-lavidoz-and-jacqueline/ […]
… [Trackback]
[…] Here you will find 69401 additional Info to that Topic: afroswagga.com/fashion-cop/who-rocked-this-style-your-soul-body-suit-better-between-cherie-mals-lavidoz-and-jacqueline/ […]